Raya: Mimi na Barnaba hakuna ndoa tena, nimeamua kurudi kwetu nimeshindwa na sitaki, amenikosea sana

Raya: Mimi na Barnaba hakuna ndoa tena, nimeamua kurudi kwetu nimeshindwa na sitaki, amenikosea sana

Simulizi Na Sauti

3 недели назад

50,394 Просмотров

Ссылки и html тэги не поддерживаются


Комментарии:

@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 - 19.05.2024 22:24

Huyo bwana anamtaka sema anasubiri aangukiwe mtamuona karudi huyo anatafuta pesa ya dhahabu 😂😂😂😂😂😂😂

Ответить
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np - 19.05.2024 22:38

Kuna watu hwa ajabu kwel umeona kbs Ile ni kz kwann ujaji unalazimisha nn unauhakika gn km huyo bint katembea nae!mumefanya Jambo kuwa kubwaaaaa

Ответить
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np - 19.05.2024 22:40

Mbona wewe umeandika maziwa hapo mke wa mtu hiyo ndio nguo?

Ответить
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np - 19.05.2024 22:45

Kuna wkt m,akikuambia Niko kwenye foren Kubal tu usijaji !mbona hawakukuona kbl hujaolewa

Ответить
@aminabakari5408
@aminabakari5408 - 20.05.2024 00:17

Nkwel mapenzi hayaganyiki mmy

Ответить
@sofiarugoye7929
@sofiarugoye7929 - 20.05.2024 07:32

Kwenye mahusiano mmekaa miak Saba? Barnabas sialikua mke,kwahiyo ulikua unamuibia yule wakwanza?

Ответить
@user-tk5yy6vj3b
@user-tk5yy6vj3b - 20.05.2024 09:12

Ndg mtangazaji jinc anavyo ongea tu uyo mdada inaonesha kabisa yy kashika mpini barnaba kashika makali sasa unazani kuna nn kitatokea kama cio kumwaga damu

Ответить
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 - 20.05.2024 11:09

Uyo kijana hana ndugu au wazazi mchanga gani anapelekeshwa si wasimame arudi aowe kwa dini yake

Ответить
@user-ix5uo6ks7j
@user-ix5uo6ks7j - 20.05.2024 11:54

Huyu dada amekasirika kweli 😂😂aliyekua

Ответить
@MohamedOmari-wb4oy
@MohamedOmari-wb4oy - 20.05.2024 19:55

Apo kwenye kiuno napo nishida Ata mm nisingekubali lakini sio kuondoka kwako sio Sheria iyo mamaa

Ответить
@user-yu4km9rb1d
@user-yu4km9rb1d - 21.05.2024 06:31

Wewe mwanamke wacha ujinga wewe jielewee jali ndoa yako kwa uzuri gani hasa

Ответить
@LukusaFrank-dg1ib
@LukusaFrank-dg1ib - 21.05.2024 07:40

Siku hizi hakuna maaba aliimba Ali kiba.naona kama Barnaba ananyanyaswa nahuyo mdada.wanawake wengi akiwa anagusa tuhela heshima zao hushuka kwa waume zao.angalisho nawatu wapole kama Barnaba.

Ответить
@user-wh1vq7gi3m
@user-wh1vq7gi3m - 21.05.2024 11:39

Wewe mwenyewe hujiheshim unavaa ovoooo

Ответить
@umfahad2609
@umfahad2609 - 21.05.2024 22:00

Sasa wewe unataka uombwe msamaha insta ili iweje? Kwani insta ndio mkewe? Acha macfa na kumdhalilisha mwenzako. Kwani mkiombana msamaha pekeenu haitoshi.

Ответить
@aunesskinissa7548
@aunesskinissa7548 - 21.05.2024 23:06

Raya rudi Kwa kumeo ndoa ina vita sana kuyaanika mambo Yako ya ndoa mitandaoni sio ishi unaongeza idadi ya maadui Kwa pande zote 2 ndoa stara weyeeee

Ответить
@paulino2725
@paulino2725 - 22.05.2024 02:38

Mpuuzi kwel huyu dada

Ответить
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 - 22.05.2024 11:44

Mtoto wewe ulikuwa una haki ya kukasirika lakini huko mtandaoni kunakushushia has

Ответить
@halimambaga61
@halimambaga61 - 22.05.2024 12:42

Kwan huyo Barnaba alikukuta Bikrame 😢😢

Ответить
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 - 22.05.2024 13:19

Kama Barnabas kaomba msamaha halafu huyu hataki, aachane naye. Halafu, kumbe ilikuwa kazini!!!

Ответить
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn - 22.05.2024 14:08

Mnakosea Barnaba anatakiwa kusamehewa lkn hata mimi sidhani kuwa mwanamusic basi lazima mkae uchi msitetee vitu visivyo sahihi wakiendelea hivyo itafika kipindi wanamusic watapanda jukwaani uchi kabisa hivi vitu lazma vikemewe vikali wasivae nguo ndefu lkn wavae nguo nzuri za music fup lkn wengine wanavaa matako waz hapana hapana hapana

Ответить
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn - 22.05.2024 14:14

Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.

Ответить
@Mileyb.
@Mileyb. - 22.05.2024 19:48

She's vry honest coz she love tht guy indeed

Ответить
@nurumwinyi796
@nurumwinyi796 - 22.05.2024 21:17

Kumbe umezoea ugomvi kidogo kwa mma,haipendezi,jifunze kutatua shida au ugomvi wwe mwenyewe,usitegemee mzazi,ni ushauri tu.Alafu kua kama ally kiba na amina mambo yao chini ya maji

Ответить
@user-ie5on4xy9o
@user-ie5on4xy9o - 23.05.2024 00:41

Raya mdg wangu umekosea kusema umeiacha ndoa et kiss picha maisha ya ndoa tana mambo mengi mbona mumeo kakuomba msamaha vya kutosha, Kuna kitu kinaitwa uvumilivu ktk ndoa lakin pia uliyeolewa nae ni msanii Sasa huo uamuz uliouchukua ghafla my dear utakucost kwasababu Haina mashiko ndoa ni yako na sio ya mama yako natamani nikwambia vitu Ving ila chukua huo ushaur Kwa leo

Ответить
@user-vy9pz7sk4z
@user-vy9pz7sk4z - 23.05.2024 04:59

Mwanamke ajielew uyu ajui kaz ya mumeo ulikua unataka uwolewe uwonekane chiz uyu locaction kuna watu weng pale acha uchiz

Ответить
@user-vy9pz7sk4z
@user-vy9pz7sk4z - 23.05.2024 05:01

Barnabar usiombe msamaha wowote pumbavu uyu mwanamke yeye mbaka na mamake

Ответить
@roseb8052
@roseb8052 - 23.05.2024 13:33

We Mama ninani I mean what if I love you

Ответить
@AbelhildaPhilimon
@AbelhildaPhilimon - 23.05.2024 13:42

Cha peke yako kaburi shosti

Ответить
@JudithKigalu-ue3in
@JudithKigalu-ue3in - 23.05.2024 16:07

Wewe dada unajivuna, ule ni mwanaume auwezi kumupangia mambo. Auwezi dumu kwenye ndoa kwa ayo maneno umezungumuza atari

Ответить
@mamuumamuu1871
@mamuumamuu1871 - 24.05.2024 05:45

Hakusoma uyu mwanamke😂😂

Ответить
@ReginaMachibia
@ReginaMachibia - 24.05.2024 15:03

Unampa tu adui nafasi we dada

Ответить
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 - 25.05.2024 13:26

Miaka minane nahamuna mtoto mmmmmh

Ответить
@user-wg7ng3se5c
@user-wg7ng3se5c - 25.05.2024 14:32

Hujielewi

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:18

Alienda kuangalia mkato wa chumba😂😂

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:20

Nenda salama mama tunakutakia maisha mema

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:22

Unahadaika na ujana hujui ya kwamba ujana ni maji ya moto neeendaaaa

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:25

Tumesha zoea maigizo ya wasanii sasahivi tutasikia km kina yule mdada nimemsahau jina alieridiana na madebo kashfa tele mtandaoni lewo hao wanakula miguu ya kuku wote

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:30

Alienda kutingisha liberties atiiii kakuta kimeunguaaa

Ответить
@rehematawalani733
@rehematawalani733 - 25.05.2024 22:32

Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂

Ответить
@MaryamMoshi
@MaryamMoshi - 25.05.2024 23:33

Mmmmhhh yetu macho

Ответить
@user-wy2em2jr5w
@user-wy2em2jr5w - 26.05.2024 00:14

Kwani lazima maswali yafanane au munaigana

Ответить
@elizabethwanjiku7831
@elizabethwanjiku7831 - 26.05.2024 05:48

Desperation na uchawi wewe na mamako hamuezi kinga ndoa kwa ushirikina

Ответить
@annievibes8794
@annievibes8794 - 26.05.2024 11:23

Wewe mwanamke rudi kwa mmeo wacha ujinga 😅

Ответить
@evaclara760
@evaclara760 - 26.05.2024 19:46

🤣🤣🤣

Ответить
@SofiaJohn-xu6yd
@SofiaJohn-xu6yd - 26.05.2024 20:08

Yan we bwabwa kwer kwan hujui kuw yule ni msanii khreeeee

Ответить
@bennamush4616
@bennamush4616 - 26.05.2024 23:54

Mbona mke wa mtu nyonyo ipo nje 😂

Ответить
@JumaNyoni-ob2wz
@JumaNyoni-ob2wz - 27.05.2024 08:18

Ila raya😅😅😅😅😅

Ответить
@user-gb5pe1qj2h
@user-gb5pe1qj2h - 01.06.2024 09:35

Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu

Ответить
@LovenesyMhame
@LovenesyMhame - 02.06.2024 16:10

Ila kam ndo mara y kwaz ilitakiwa umuskiliz nin anasem kuhus hilo na upend wake kwako upoje n angekuomb msamah maish yakaendelea

Ответить
@Tradingpredictions2024.
@Tradingpredictions2024. - 07.06.2024 17:41

Uzuri ni wakugombana akicheka.wataelewana tu

Ответить