Комментарии:
Wewe ndio maana magufuli alikufyatuwa
ОтветитьWambie baba angu
ОтветитьKisugu mnafiki mkubwa sana
ОтветитьMbona nyie na Costc imekua hivyo acha unafiki unalaana wewe sio bure
ОтветитьSiyo pamba tu zote zinazo kula rushwa zinashuka daraja
ОтветитьMimi nina swali hivi hii mikoa ambayo timu zipo ligi kuu haipendi timu zao zipeleke ubingwa mikoani kwao? Vijana wao wanapambana kuvipandisha timu zao ligi kuu unasikia eti mdhamini anaidhamini timu na wazee waishio mikoa hiyo wanakubali ilitimu zao ziwe daraja kuzipitisha timu zao akili matope sasa timu zenu zinashuka daraja
ОтветитьHujui kuchambua mpira
ОтветитьMmesahau timu zilizozipiga timu za dar kama tukuyu costar mseto pamba ya zamani zilibeba ubingwa mashujaa waliocheza na simba watanzania tukasema timu hii hata wakija waarabu wanakufa heee hapa na hapa wanacheza kama wanaumwa goli 5 wakafungwa pamba wanaachia magoli 3 mnashuka daraja kigoma ndugu zangu kwanini mnakubali ujinga wakiuza timu yenu safari hii mkatae
ОтветитьGSM atazishusha nyingi kwa kuifurahisha Yanga . Udhamini kama huu haufai kabisa unawaumiza
ОтветитьAcha ngonjera
ОтветитьUlikua unacheza na pamba au coast chizi ww
ОтветитьKisugunakukubalisana
ОтветитьGsm,,nimuuajiwampiratanzania,,serekali,,iwemakini
ОтветитьHao ndio watu wa simba na maneno, wana akili finyo mno, angalia anavyokaza mwili mwisho anajamba
ОтветитьKisugu"" SUGUA
ОтветитьKisugu husharifiki kiukweli hataangekuepo kisugu ungekujanakusema walifungwa kwakua mlezi n yanga kajitoa tatizo akiwemo tatizo kisungu ngoja tarehe 8 tutajuaa ukweli
ОтветитьWewe chizi sana kisugu Hivi kweli kabisa pamba ina ubora kuliko Yanga kwA maana Yanga ingfungwa? bwege wewe kisugu
ОтветитьWatajijuuuaaa
Ответить😂😂😂😂🎉🎉🎉
ОтветитьNoma sana watani 😂😂😂
ОтветитьIhefu imeshuka daraj mtibwa imeshuka daraj izo zilikuwa zinazaminiwa na GSM acha chuki
ОтветитьSimba Ikishinda G.S.M Hayupo. Kwani Anaeshuka Nipamba tu Au Kuna Timu Nyingine Zinashuka
ОтветитьMkuu Wamkoa Anacheza Nafasi Gani
ОтветитьKisa kufungwa na Yanga au
ОтветитьPamba haishuki ww mbwa
ОтветитьSimba ikishinda mbona hampigi kelele kibao.
ОтветитьHili lijamaa ni mbumbumbu sana
ОтветитьWewe kweri chiZi ivo wewe mwandishi hunamtu wa kumuhoji mbaka unaongea na chizi unakosa watu huyu chizi
ОтветитьWewe kisugu unafyonzwa pamba ikishuka daraja ww kinakuuma nn kenge mlima ww
ОтветитьHataki kuongelea dabi anaogopa😂
ОтветитьPwakupwaku ilo limeanza kulopoka
ОтветитьWewe ndyomnafki mbwa wewe
ОтветитьHili jamaa bwege. Linaongea linakaza sura hadi matako. Hivi kiuhalisia pamba anaweza kuifunga Yanga? Hili kweli Tako.
ОтветитьAcha ujinga chz wa mo ww ni mbea tu
ОтветитьSimba matahira ww na dr mo
ОтветитьYaani watu simba sio wanaume au wanawake wote wana mimba simba wakishinda ubaya ubwela ila yanga wanahujumu
Ответить🔥🔥🔥
ОтветитьWewe name tamu yako mmecheza robo finali ngapi na mkapata bilioni ngapi mikolokolo fc wee
Ответить