Комментарии:
Ikiwa kaburi la yesu Iko hapo basi si yaonekana sehemu hiyonia Israel na bibilia nayo je
ОтветитьTunaomba brother utuletee shekhe sule doctor, maalimu Othman, mazinge , na shekhe kipoozeo ili nao watoee content zao
Ответитьmwamba yuko vizuri
Ответить👍
ОтветитьWalibebwa na meleli kuletwa Palestinian
ОтветитьHuo ni uongo. Hakuna kitu kama hicho "ukweli uliojificha" kinacho endelea ni chuki za kishamba na ujinga kilicho fanywa na Hamas. Kilichopo kwa Israel ni kuwauwa wote
ОтветитьJamaa longo longo
ОтветитьUsifurahie msiba unao tokea kwa jirani Kuna hatari mwenzangu mithali 17:5
ОтветитьMungu ibariki izraeli
ОтветитьMungu hawabariki kwa uchambuzi mzuri
ОтветитьHama's ni part ya ulinzi wa Palestina .Palestina haipo KWA sasa bila Hamas!
Kwa msingi huo (Biblia hutaja neno mbigiri) (itakuzalia miiba na miiba itakuchoma ubavuni) mbigiri:Jamii ya Palestinian.
Miiba:- Hama's na Hezbra .
Joshua ndie chanzo cha madhara ya wapatao Israel people s.Fuatilia kosa hicho ndani ya Biblia KWA utulivu bila ushabiki.
Israel ni taifa ambalo wengi wao ni Wayahudi. Wayahudi wana DINI yao!!! Si Uislamu wala Ukristo!!
ОтветитьNimekuelewa sana una sifa ya kuwa mwalim ❤
ОтветитьWell done!
Umeeleza vema kabisa. Hili ni somo pana na wengi hawajui hii history.
Kama Hamas sio Palestina kwa Nini Israel apige gaza yote?kwani Hamas Ni nchi?
ОтветитьMungu aibariki Palestin
ОтветитьLiliovunjwa wkt wa vita ya Warumi walipompiga Israeli
ОтветитьSema juu ya msikiti wa Al-Axsa na hekalu la mfalme wa Israel
ОтветитьHiyo ni kabla ya Ottoman empire,
ОтветитьMungu wa Ibrahim, Isaac na Yakobo aliwapa Israeli nchi hiyo.
ОтветитьNilitamani sana kama ungelizungumza kuhusu ujio wa Wayaudi, Israeli uko Sayuni. Nchi ya ahadi. Na lini helaly la Mfalme Suleiman lilijengwa . Na kuondoka kwa Wana wa Israeli toka nchi ya ahadi baada ya vita ya Warumi ambayo pia ilipelekea uvunjaji wa hekalu la mfalme suleiman
ОтветитьMungu ibariki Israel Mungu ipiganie Israel
ОтветитьMungu asimame kwenye taifa la esrael
ОтветитьBig up
ОтветитьHuyu jamaa anajua kuchambua issue za kisiasa,kiuchumi na Imani.
Big up
Waooo good story
ОтветитьUcarine experead
ОтветитьMungu simamia dunia yote amani upendo😊
ОтветитьUlivyoeleza kwa ujasiri sssa 😂😂
ОтветитьBro mungu akulinde
ОтветитьOk kumbe ndiomaana serikali inashindwa sana kumsaidia mtu kwaajili ya watu ambao wana jambo lao na ukitaka kunyamazishwa au kukufanya usiendelee
ОтветитьHongera sana kwa historia hiyo...
ОтветитьMungu tunaoomba lisimamie taifa lako. Pia nasikia waisrael ni matajiri sana na wanaakili sana. Mungu tunaoomba Amani yako. Vita viishe. Wapatane.
ОтветитьUmejitahidi kuchambua.
Jingine eaisraeli wamekataa sheria za kimataifa kugawiwa nchi zote mbili waishi kwa amani.
Amin usiamini yesu atarudi tena
ОтветитьKumbe kweli kuwa msomi sio kufunuliwa na mungu mambo ya mbinguni ndomaana wasomi wanasema mwanadamu ametoka a na nyani tena ndoomaana hata hawa hawa wasomi wanahalalisha ndoa ya jinsia moja mungu awasaidie hiyo ni elimu ya duniani tu mfunuliwe elimu nyingine ya muhimu sana na inapatikana kwa yesu tu
ОтветитьI wish siku Moja nami nipate Chance nije kutema madude ya Palestine na Israel hapo Rick Media
ОтветитьGrayson una madini yakutosha kichwani, na save his video for future use
Ответить😢
ОтветитьIsrael ni taifa la kishetani
ОтветитьBaadhi unaongea ukweli vingine kidogo unapotea
ОтветитьUko very deep bro 🇦🇪🇮🇱✌
ОтветитьUongo mwengine
ОтветитьNinafuatilia mjadala
ОтветитьViva Palestine
ОтветитьHakuna kitu unajua brother unaongea km wanajimu wa Mvua eti kutakuwa na Elinino ulikaa na Mungu akawaambia sikai na wapumbavu Binadamu. History umesema ukweli kabisa kwamba wayahudi waliondoka wakaelekea mashariki wengine Magharibi wengine kusini na wengine kaskazini. Ila walipoondoka wakaja wahamiaji wanaojiita Palestina. Ila Wayahudi walipojitambua Waisrael wakarudi kwenye mahame yao shida iko wapi mtu karudi kwenye makao ya mababu yao? Huwezi kuanza vita na watu walio pewa nchi na Mungu. Israeli unapopigana nayo ujue unapigana na Mungu. Palestine na Israel vita hivyo ataamua Mungu tu. Wengine mnatupa history butu tu ila ingia ktk Bibilia inasema nini juu ya Israel na Palestine ni Dini hizo mbili Christian and Muslim. Na Mjue hivyo Hilo Dini ya Wayahudi ni Mungu aliwapa Wayahudi kujengwa msikit wa waislamu siyo sababu. Israeli ni Taifa la Mungu na Saudi Arabia ni Baba wa Waarabu akisema Naitambua Nchi huru. Hata Saudi Arabia hata wasiposema ukweli unabaki pale pale Israel ni Taifa lenye nguvu na Mungu alilichagua hata km walimkataa Masihi ila Agano la Mungu bdo lipo pale pale
Ответитьhiyo ni vita ya tembo na sisimizi,
muda si muda tembo linakuwa mzoga
Mungu aliwatambua Israeli kabla ya ww unavyoelezea hiyo ni history ya movie ndo umetuletea bhana
ОтветитьHiyo ni akili yako soma Biblia kisha uliruhusu Biblia iseme.
Ответить