Комментарии:
Bangi kabisa huyu😅
ОтветитьWewe ni wakujikweza unayaona wewe tu hayo maendeleo chawa mkubwa kblaka
ОтветитьKuna wabunge hawatakiwi kurudi bungeni 2025 kazi kusifia tu
ОтветитьHajajua kama kunandugu zake wanataabika.
Ответить😮falaww usituletee Kodi nzakenya huko Yuko nzayo achaupumbafu tunaumia sisiwachini
ОтветитьHii takataka
ОтветитьHata kumsikiliza inatia kinyaa
ОтветитьUchaguzi umekaribia ndio maana tunaona mabadiliko ndani ya bunge
ОтветитьNetwork virus
ОтветитьUsitudanganye
ОтветитьKazi ni kusifia tu!?
ОтветитьUsitudanganye
ОтветитьUsitudanganye
ОтветитьNina uhakika singida hamtarudia makosa..huyu situdi tena humu kuja kufanya ujinga huu anaoufanya mjengoni...mumemtuma aje awatetee humu ..anakuja kusifia ujinga...??
ОтветитьMaslahi sawa lakini sio yenye harufu ya rushwa
ОтветитьJamani Watanzania tujitahidi sana kulinda kura zetu kwenye uchaguzi ujao. Vinginevyo hawa wakina Kingu , Msukuma na aina yao watarudi tena Bungeni. Hao nadhani wamesha hongwa na akina MO sasa wanaropaka huko Bungeni. Eti watu hawalipi Kodi, wabunge mnalipa kodi? Nan alipe sasa kama mmejitungia sheria msilipe kodi? Njaa mbaya sana. Ukweli njaa inaweza ikufanye uonekani mtoto mdogo.
ОтветитьHAO NDIO WALIORIDHIA KUUNZWA KWA BANDARI ZETU. AKINA KINGU NA MSUKUMA WANA NJAA BALAA
ОтветитьPumbavuzako
ОтветитьMh. Mbunge onesha takwimu. Bila takwimu huna haki kabisa
ОтветитьWapumbavu ktk ccm ni wengi mno huyu nikati ya mabwege kuanzia ngazi ya chini.
ОтветитьPumba kweli uyu naye anazungumza nini mwigulu
ОтветитьNonsense.This is a dinderhead
ОтветитьAmetokea TZ au Kenya maana sijamuelewa huyu
ОтветитьEt na uyu ni mbunge
ОтветитьAkili ndogo inataka kujithibitisha mbele ya wenye uwezo kuonekana anaweza 😢😂😂😂
Mungu mwenye Enzi ponya TAIFA LANGU LA TANZANIA 🇯🇲🙏
NONDOO ZA HATARIII🎉🎉
ОтветитьOle wenu vijana mfanye kosa tena la kutopga Kura chaguzi zjazo
ОтветитьHuyu ni mlevi haswa sijui ana elimu ya kiwango gani mnatuletea number za makaratasi Alafu maisha ya watu zero na huyu anajipambisha ili 2025 apate kiti
ОтветитьKodi zikiwa rafiki watanzania watalipa.
ОтветитьNyamazaaaaa
Hauna lolote
Hivi wajibu wa mbunge bungeni ni kufanya nn, kuisifia serikali, kumtetea mwananchi,
ОтветитьUyu nikiendelea kumsikiliza naweza kutapika mana anasifia sisi wananchi kuzidi kuporwa mali zetu
ОтветитьKumbe wajinga pia wanavaa suti
ОтветитьWabunge wanalipa Kodi?
ОтветитьHuyu mbunge pumba kabisa siku ingine ndugu yangu kaakimya utapata hekima zaidi koliko michango yako bungeni
ОтветитьHivi nihuyu. Majanga
ОтветитьTanzania ingekuwa mbali mh kwani wakati wa Corona nchi nyingi zilikuwa zimesimama ila Tanzania ilikuwa ikifanya KAZI kawaida
ОтветитьIende sambamba na uagizaji wa petroleum
ОтветитьRwanda, Uganda ni land locked Countries....nafkiri ni vizuri kufanya comparison na Nchi ambazo zina hali sawa na Tanzania kimaliasili.Tanzania kuna Gesi, Bahari na Bandari, Mbuga za Wanyama, Maziwa Makuu, Mito mikubwa, Usafiri wa Rail way.Hizo zote ni rasilimali ambazo zingetosha kufanya Tanzania iwe zaid ya Ulaya.Ushabiki usio na data zenye Mashiko ni hatari sana.
ОтветитьHuyo hajui kabisa maana ya kusimamia uchumi.
ОтветитьHow is this guy ..?😮😮
ОтветитьWewe unajua maisha ya mtaani kweli kaka
ОтветитьKingu kashiba sio kosa lake
ОтветитьHuyu Mbunge ajui maisha ya matani kabisa watu kama Hawa ulaya awapati uongozi
ОтветитьMnadhambi nyie Wanasiasa mungu anawaona
ОтветитьKama umewahi kusoma kitabu cha kivuli kinaishi bibi kirembwe alivyo walisha unga wa ndere... Na kweli wewe umelishwa unga wa ndere.... Wewe mbunge...
ОтветитьUkitoka hapo soma koment hizi wew
ОтветитьUpo sawa nimekuelewa
ОтветитьMm nilingoja mambo ya maana kumbe anaongea ujinga.unawasaport wezi sababu ww mwenyewe ni mwizi
ОтветитьHuyo Jamaa Hajuwi Anachokiongea
Ответить